©IIMEC.09
.
Bismillahir
Rahmaanir Rahyim
INTER ISLAMIC MOCK
EXAMINATIONS COMMITTEE
CERTIFICATE OF
SECONDARY EDUCATION
FORM IV MOCK EXAMINATION
015/1 ELIMU YA DINI YA KIISLAMU-1
Muda:
Saa 2 ½ Jumatatu, 3 Agosti,
2009 mchana
MAAGIZO:
1.
Mtihani
huu una sehemu A, B, C, D na E.
2.
Jibu
maswali YOTE.
3.
Zingatia
maagizo ya kila sehemu na ya kila swali.
4.
Simu
za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.
6.
Fuata
kwa makini maelekezo ya kila swali.
Mtihani huu una
kurasa 6 zenye maandishi
SEHEMU A
SUNNAH NA HADITHI (Alama 10)
1. Katika swali (i) – (x) chagua jibu
lililo sahihi zaidi na uandike herufi yake katika karatasi yako ya kujibia.
(i)
Maana
ya Sunnah katika Istilahi ya Kiislamu ni:
A.
Hadithi
za Mtume (s.a.w)
B.
Mafundisho
ya Maswahaba
C.
Matendo
ya Mitume wa Allah
D.
Matendo
ya Mtume (s.a.w.) ambayo ni sehemu ya Utume wake
(ii)
Ni
muhimu kufuata Sunnah ya Mtume (s.a.w.) kwa sababu:
A.
Huwezi
kuelewa Qur’an bila kufuata Sunnah
B.
Kilichoanza
wakati wa Mtume ni Sunnah kisha Qur’an
C.
Sunnah
inaelezea hadithi za Mtume
D.
Huwezi
kumtii Mtume bila kumtii Allah
(iii)
Ni
wakati upi katika historia ya uandishi wa hadithi ambapo uandishi wa hadithi
ulistadi kuliko zote?
A.
Wakati
wa Mtume
B.
Wakati
wa Maswahaba
C.
Wakati
wa Tabiina
D.
Wakati
wa Tabii Tabiin
(iv)
Ni
kigezo kipi kati ya hivi vifuatavyo hutumika kuitambua hadithi sahihi au
dhaifu?
A.
Hadithi
kutopingana na kauli ya Tabii Tabiin
B.
Hadithi
kutopingana na Qur’an
C.
Ukamilifu
wa matin na Isnad
D.
Ukamilifu
wa Isnad
(v)
Kufuata
madhehebu, rai au maoni kibubusa bila ya kutumia akili hujulikana kama
A.
Taqtiid
B.
Makahd
C.
Tajwiid
D.
Wahhid
(vi)
Hadithi
zinazoanza kusimuliwa na Mtume (s.a.w.) yakiwa yakiwa ni maneno ya Allah (s.w.)
lakini si Qur’an hujulikana kama:
A.
Hadithi
Nabawiyyi
B.
Hadithi
Qudusiyyi
C.
Hadithi
Ahad
D.
Hadithi
Matawatir
(vii)
Kitabu
kipi katika hivi vifuatavyo kinachukua daraja ya kwanza ya usahihi kuliko
vingine?
A.
Jamiu
At Tirmidh
B.
Sahihi
Al- Bukhar
C.
Sahihi
Al-Muslim
D.
Sanad
ya Ibn-Majah
(viii)
Kazi
kubwa ya kwanza ya uandishi wa hadithi iliyoonekana katika kipindi cha
maswahaba ilikuwa Al-qatadaya ya:
A.
Malik
bin Anas
B.
Imam
Bukhari
C.
Hazrat
Ali
D.
Abu
Huraira
(ix)
Msururu
wa wapokezi tokea aliyemuona au kumsikia Mtume (s.a.w.) hadi kufikia aliyepokea
na kuandika hadithi hujulikana kama:
A.
Rawi
B.
Matin
C.
Isnad
D.
Jamiu
(x)
Kipi
kati ya vipengele vifuatavyo ni kipengele cha mambo yenye kuangamiza?
A.
Kukimbia
siku ya vita vya jihadi
B.
Kutofuata
sunnah za Mtume (s.a.w.)
C.
Kutomtaja
Mwenyezi Mungu kwa wingi
D.
Kutoamrisha
mema
SEHEMU B: QUR’AN (Alama 15)
2. Chagua
kutoka orodha B kifungu cha maneno kinachowiana na kifungu cha maneno cha
orodha A. Kifungu cha orodha B kinaweza kuwianishwa zaidi ya mara moja.
ORODHA A:
(i)
“Na
haikuwa kwa mtu kwamba Allah (s.w.) anasema naye ila kwa ilham au nyuma ya
pazia au hutuma mjumbe naye humfunulia kiasi anachotaka”. [42:51]
(ii)
….ni
mwezi wa Ramadhani ambao ndani yake imeshuka hii Qur’an iwe uongozi kwa watu na
hoja zilizowazi au uongozi na upambanuzi……. [2:185]
(iii)
Kwa
yakini Mwenyezi Mungu amemhakikishia Mtume wake ndoto yake ya haki. [48:27]
(iv)
Ujumbe
wa kwanza wa Qur’an kushushwa kwa Mtume (s.a.w.).
(v)
Chanzo
cha elimu zote ni Allah (s.w.).
(vi)
Kuomba
kuongozwa katika njia iliyonyooka ni wajibu kwa kila Muislamu.
(vii)
Uthman
bin Affan (r.a.) amesema, wakati wowote Mtume wa Allah alipoteremshiwa wahyi
humuita mmoja wa watu waliochaguliwa kuandika. (Tirmidh).
(viii)
“Na
Qur’an tumeigawanya sehemu mbalimbali uwasomee watu kwa kituo na tumeiteremsha
kidogo kidogo. [17:106]
(ix)
Allah
ndiye chimbuko la kila fani ya elimu.
(x)
Kipambanuzi
cha haki na batili.
(xi)
Allah
ndiye chimbuko la kila fani ya elimu.
(xii)
Mwanadamu
anahitajika kujikinga kwa Mola wake tu kutokana na shari ya viumbe.
(xiii)
“Ewe
Mtume mbona unaharamisha alichokihalalisha Mwenyezi Mungu? Unataka radhi za
wake zako ……”. [66:1]
(xv)
Nabii
Ibrahim (a.s.) alioteshwa kumchinja mwanae.
ORODHA B:
A.
Njia
ya mawasiliano na Mwenyezi Mungu
B.
Lengo
la Qur’an
C.
Alaq
(96:1-5)
D.
Kuhifadhiwa
Qur’an
E.
Qur’an
ni neno la Allah
F.
Surat
Falaq na Nnas
G.
Surat-Fat-ha
au Al-hamdu
SEHEMU C: TAWHIID (Alama 15)
3. Panga
vipengele vya (a), (b) na (c) katika mtiririko wenye kuleta mantiki majibu
yaandikwe katika kijitabu cha kujibia.
Kwa mfano
Uislamu umesimamishwa juu ya nguzo
tano zifuatazo:
(i)
Kutoa
zaka
(ii)
Kuhiji
Makka
(iii)
Kufunga
Ramadhani
(iv)
Kutoa
shahada mbili
(v)
Kusimamisha
swala
Jibu ni (iv), (v), (iii), (i)
(a)
Wafuatao
ni Mitume wa Allah:
(i)
Muhammad
(s.a.w)
(ii)
Issa
(a.s)
(iii)
Daud
(a.s.)
(iv)
Daud
(a.s.)
(v)
Suleyman
(a.s.)
(b)
Sura
ifuatayo inathibitisha umoja na upweke wa Mwenyezi Mungu:
(i)
Sema:
Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja
(ii)
Wala
hana anayefanana naye hata mmoja
(iii)
Ndiye
anayestahili kukusudiwa
(iv)
Hakuzaa
(v)
Wala
hakuzaliwa
(c)
Kisa
kifuatacho kinathibitisha kuwa ufufuo ni jambo jepesi kwa Allah:
(i)
Kisha
akamfufua akamuuliza ‘umekaa muda gani? Akasema nimekaa muda wa siku moja au
sehemu ya siku (Mwenyezi Mungu) akasema: “Bali umekaa miaka mia, nawe tazama
chakula chako na vinywaji vyako, havikuharibika.
(ii)
Basi
alipopambanuliwa alinena “Najua kwamba Mwenyezi Mungu ni mwenye uweza juu ya
kila kitu.
(iii)
Au
kama yule aliyepita karibu na mji uliokuwa umekufa akasema “Mwenyezi Mungu
anauhuisha vipi (mji) huu (na watu wake) baada ya kufa kwake.
(iv)
Na
mtazame punda wako (amekuwa mifupa mitupu iliyo sagika). Na ili tukufanye uwe
hoja kwa watu (ndio tumekufufua hivi). Na itazame mifupa (ya punda wako) jinsi
tutakavyoinyanyua, kisha tukaivika nyama.
(v)
Basi
Mwenyezi Mungu alimfisha kwa miaka mia.
SEHEMU D: FIQH (Alama 30)
4. Jibu
kwa ufupi kujaza nafasi zilizo wazi katika maswali la (i) – (xv). Andika neno
au maneno yaliyokosekana tu katika karatasi yako ya kujibia.
(i)
Mwanadamu
amekusudiwa kuwa ___________ wa __________ hapa ardhini.
(ii)
Ndio
kiingilio cha Uislamu, tafsiri yake ni ______________________________________.
(iii)
Dharura
za kisheria za kumfanya mtu kutokuswali ni _______________ na _______________.
(iv)
Ili
pahali palipoingia najisi hafifu patatwaharike ni kwa ___________________ maji
yaenee na kutiririka wakati kuondoa najisi ya kati na kati ni lazima kusafisha
hadi _______iondoke.
(v)
Moja
ya sharti za utoaji zakat ni __________________ kwa masimbulizi na miongoni mwa
wanaostahiki kupewa zaka ni ___________________________________________.
(vi)
Kwa
mujibu wa hadithi za Mtume (s.a.w.) miongoni mwa mambo yanayoharibu swaumu
(funga) ni
________________________________________________________________________.
(vii)
Kutupa
mawe kwenye Jamaratul Aqaba siku ya mwezi 10 Zulhija kunafutufnza ___________
na kusimama Arafa mwezi 9 Dhulhija kunatukumbusha
__________________________________.
(viii)
Chemchem
ya sheria ya Kiislamu ni _________________ na ___________________.
(ix)
Tofauti
na mfumo wa Kidemokrasia, katika mfumo wa kisiasa wa Kiislamu ufalme wote ni wa
_____________________ na hakuna __________________ aliyeko juu ya sheria.
(x)
Biashara
inaweza kuwa ya haramu kwa kutofuata misingi aliyoiweka _________________ au
biashara yenyewe ___________________ moja kwa moja.
(xii)
Talaka
ya “Zihar” kafara yake ni ____________ au _________________________________.
(xiii)
Sharti
mojawapo la urithi ni kuwa na uhusiano wa ______________ au kwa ______________.
(xiv)
Moja
ya makusudio ya ndoa katika Uislamu ni kuepusha jamii na _____________ katika
familia __________________________________.
(xv)
Faida
za swala ya jamaa ni kujenga ________________________ miongoni mwa Waislamu na
kujifunza kanuni za ___________________________ wa Kiislamu.
SEHEMU E : TAREKH (Alama 30)
5. Chagua neno au maneno (1-30) ili
kukamilisha kauli (i-x) kwa usahihi.
Maneno/vifungu vya maneno
1.
Aqaba
2.
Hunain
3.
Maslahi
binafsi
4.
Muta
5.
Kujielimisha
6.
Allah
7.
Qur’an
8.
Udhaifu
wa imani
9.
Yathribu
10.
Khaibar
11.
Kuandika
katiba
12.
Maquraish
13.
Vita
vya Uhud
14.
Subra
15.
Dini
16.
Kuunganisha
Ansari na Muhajirin
17.
Warumi
18.
Magumu
19.
Badri
20.
Uoni
wa mbali
21.
Umma
22.
Ushirikina
23.
Huruma
yake
24.
Maqamu
Ibrahim
25.
Mwanadamu
26.
Manata
27.
Jina
la Al-amin
28.
Upinzani
29.
Ibada
30.
Imani
MASWALI:
(i)
Kwa
mujibu wa mafundisho ya Qur’an kila __________________ alipelekwa Mtume kwa
lengo la kumuongoza _____________________________ katika njia iliyonyooka.
(ii)
Historia
ya Makka ilipo Kaaba inadhihirishwa na ___________________________ na mahali
Allah ameamrisha iwe sehemu ya _________________________________.
(iii)
Waarabu
wa Makka wakati Qur’an inashushwa walibobea katika ____________________ na moja
ya miungu yao ilikuwa _________________________________.
(iv)
_________________
na _________________ ni ushahidi tosha kuwa Muhammad (s.a.w.) tangu utotoni
mwake alikuwa na tabia njema kabisa.
(v)
Baada
ya wahyi wa kwanza na kuamrishwa ujumbe kwa watu wote Mtume Muhammad (s.a.w.)
alikabiliana na _____________________ lakini aliendelea kufundisha
__________________ sahihi ya kumuamini Allah.
(vi)
Tukio
la Waislamu kutengwa katika bonde kwa miaka mitatu na kuuliwa baadhi ya
maswahaba ni funzo kwetu kuwa katika kupigania _________ya Allah tuwe tayari
kukabiliana na _____ yoyote.
(vii)
Mara
tu Mtume (s.a.w.) alipofika Madina alifanya yafuatayo, kujenga Msikiti
___________ na ___________________.
(viii)
Maadui
wa Dola ya Kiislamu Madina walikuwa _______________ Wayahudi, ________________
na Wanafiq.
(ix)
____________________
ilikuwa Maquraishi wanalipiza kisasi baada ya kushindwa vibaya katika vita vya
__________________.
(xi)
Vita
vya ____________ na vile vya _______________ ilikuwa ni ishara ya kukua na
kuimarika kwa nguvu za kijeshi la dola ya Kiislamu.
(xii)
_______________
na ______________ vilichochea uasi dhidi ya dola ya Kiislamu wakati wa Ukhalifa
wa Abubakar (r.a.).
(xiii)
Funzo
kubwa kutokana na vita vya ______________ ni kuwa wingi si hoja na tunatakiwa
tumtegemee ________________________ kila wakati.
(xiv)
Mikataba
ya _____________________ kati ya Waislamu kuhamia Madina ____________ ndio
ilipowafanya Waislamu kuhamia Madina.
(xv)
Ili
kukabiliana na vikwazo dhidi ya Uislamu na Waislamu hawanabudi
_________________ na kufuata _____________________ kwa mwongozo wa maisha.
WABILLAH TAWFIIQ