Saturday, July 6, 2019

HUKUMU YA MZINIFU

 ((وَلاَ تَقْرَبُواْ الزِّنَى إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاء سَبِيلاً))
((Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya)) [Al-Israa:32]
 Na pia mzinzi ambaye hajaoa au kuolewa anafaa apigwe mijeledi mia moja hadharani
Na ikiwa ameoa au ameolewa basi wanafaa wapigwe mawe hadi kufa kama ilivyothibiti katika Hadiyth ifuatayo:
Soma zaidi